Nilikua nikisoma comments za watu.. nimejikuta nikilia, kwenye haya maisha kalibia Kila mmoja wetu Mungu humpa nafasi ya upendeleo. Hata Mimi, MUNGU AMENIPENDELEA JAPO SIKUSITAHILI❤… upendo wa Mungu ningum kuuelezea kibinadam.
Tuendelee kumtumaini yeye hatakama tunapitia wakati mgum kiasi Gani, wakati wetu wafuraha upo🙏🙏
For the last 6 years my sister was going through crying to God ampe kazi i encouraged her kuna Mungu mkuu na hajamwacha, i thank God leo Hii amempendelea na amempa kazi asiifiwe mungu
hakika Mungu utabaki kuwa Mungu, naogoja neema na mapendeleo yako katika biashara yangu, niweze kupata kazi na pia familia yangu ipate amani ikaweze kuwa na matumaini kwangu nami nikawe baraka kwao….ewe Mungu nipendelee kwa kuwa upo na nakutumainia
Even if I am still trusting you for the fruit of the womb God I can say umenipendelea.Umenitoa kwa kazi ya house help ukanifanya mwalimu🙏.Ulimponya mamangu akiwa amechungulia kaburi UMENIPENDELEA💖
Nimependelewa zaidi sana, mwaka wa 2006 nilikuwa bado binti mudogo niliumwa sana nikafanyiwa upasuwaji wa fièvre typhoïde pa Burundi hali yangu ilikuwa mbaya zaidi watu walisema sitazaa wengine walisema kuzaa kwangu itakuwa tuu kwa njiya ya upasuwaji sababu upasuwaji niliofanyiwa ulikuwa wakutisha sana,lakini nakutangaziya kwa sasa nina watoto wa 5 na sijawahi pita kwenye upasuwaji kila mara nikichukuwa ujauzito napitiya mazito wa daktari wanasema aita wezekana lakini Mungu anaendeleya kunipendeleya zaidi na zaidi, Ndugu zangu tubaki ndani ya Yesu Christo tutazidi kupendelewa siku zote, Ubarikiwe zaidi mahali popote ulipo.
Asante Asante Mungu wangu kwa kunipendelea .Wewe ni Mungu kweli na hakuna mwingine kama Wewe. Glory to the Most High God, the same yesterday ,today and Forever. Amen 🙏
Mungu amenipendelea aki nmesoma nmemalza shule nimegraduate got a job atleast presentable kwetu am the first one last year nlikua na manifest in comments on any gospel song sai God amenilift siamini😊😊😊
Nilimaliza chuo kikuu 2017 bado sijapata kazi. Mungu amenipendelea Sana silali njaa, watoto wanasoma, wanakula Na kuvaa. Najua atanipendelea Na kazi YA kiwango cha juu. 😊I believe
Joining college after so many years of completing high school something that I never expected will ever happen but I kept holding on to the hope that one day I will and God just made it happen.nani kama mungu.UMENIPENDELEA
Afya hii,familia hii.shule hii.
Uliponitoa,unaponipeleka
Hakika I'm favoured
Fuck tagt
Nilikua nikisoma comments za watu.. nimejikuta nikilia, kwenye haya maisha kalibia Kila mmoja wetu Mungu humpa nafasi ya upendeleo. Hata Mimi, MUNGU AMENIPENDELEA JAPO SIKUSITAHILI❤… upendo wa Mungu ningum kuuelezea kibinadam.
Tuendelee kumtumaini yeye hatakama tunapitia wakati mgum kiasi Gani, wakati wetu wafuraha upo🙏🙏
Asante Mungu umenipendea sana hata siwezi kueleza, wacha niimbe tu
Niliambiwa nikatwe mguu ila sikukatwa ukaniponya 😢umenipendele😭😭😭😭😭 Asante sana
❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😅 umenipendeleaaaaaaaaaah hakika kuachwa yatima na sina msaada umenipendeleaaaaaaaaaah😢😢😢😢😢😂😂😂😂
For the last 6 years my sister was going through crying to God ampe kazi i encouraged her kuna Mungu mkuu na hajamwacha, i thank God leo Hii amempendelea na amempa kazi asiifiwe mungu
Hakika Mungu amependelea pia nami.
Nimependelewa mno Mimi jamani..
From nothing to something.. namshukuru Mungu kwa uhai zuzima na Neema yake ya kumpenda na kumfahamu…
Amazing
Umenipendelea Yesu hakika
Asante yesu kwa kunipedelea 🙌
Weeeeh
Good song
Mungu pia mm umenipendelea nasema asante❤
Wawawawa😢😢😢this so real
hakika Mungu utabaki kuwa Mungu, naogoja neema na mapendeleo yako katika biashara yangu, niweze kupata kazi na pia familia yangu ipate amani ikaweze kuwa na matumaini kwangu nami nikawe baraka kwao….ewe Mungu nipendelee kwa kuwa upo na nakutumainia
Ammmeeeeeeeeeen
Umenipendeleaaaaaaaaaa
Nakurudishia sifa na utukufu baba umenipendelea
Even if I am still trusting you for the fruit of the womb God I can say umenipendelea.Umenitoa kwa kazi ya house help ukanifanya mwalimu🙏.Ulimponya mamangu akiwa amechungulia kaburi UMENIPENDELEA💖
keeping leading me Lord, I trust in you Jesus.
Nimependelewa zaidi sana, Mungu ni mwema ❤❤❤
Nimependelewa zaidi sana, mwaka wa 2006 nilikuwa bado binti mudogo niliumwa sana nikafanyiwa upasuwaji wa fièvre typhoïde pa Burundi hali yangu ilikuwa mbaya zaidi watu walisema sitazaa wengine walisema kuzaa kwangu itakuwa tuu kwa njiya ya upasuwaji sababu upasuwaji niliofanyiwa ulikuwa wakutisha sana,lakini nakutangaziya kwa sasa nina watoto wa 5 na sijawahi pita kwenye upasuwaji kila mara nikichukuwa ujauzito napitiya mazito wa daktari wanasema aita wezekana lakini Mungu anaendeleya kunipendeleya zaidi na zaidi,
Ndugu zangu tubaki ndani ya Yesu Christo tutazidi kupendelewa siku zote,
Ubarikiwe zaidi mahali popote ulipo.
Ata kama nakumbwa na mengi lakini Kwa uhai wa bure amenipendelea Kwa kweli😢🙏
Si kwa nguvu zangu,bali ni zako mungu,umenipendelea yesu umbali umetoa
MUNGU WA REHEMA UMENIPENDELEA . UTUKUZWEEE
God has really flavoured me from nobody to somebody
Vyote nilivyo navyo ulivyonipea UMENIPENDELEA❤❤❤
Asante Asante Mungu wangu kwa kunipendelea .Wewe ni Mungu kweli na hakuna mwingine kama Wewe. Glory to the Most High God, the same yesterday ,today and Forever. Amen 🙏
Asante Mungu wangu Kwa huai
Yesu Bado nakuamini! Najua soon utanipendelea na nitarudi kwenye huu wimbo kushuhudia! Amen! 🙏🏾
Mungu amenipendelea aki nmesoma nmemalza shule nimegraduate got a job atleast presentable kwetu am the first one last year nlikua na manifest in comments on any gospel song sai God amenilift siamini😊😊😊
Nilimaliza chuo kikuu 2017 bado sijapata kazi. Mungu amenipendelea Sana silali njaa, watoto wanasoma, wanakula Na kuvaa. Najua atanipendelea Na kazi YA kiwango cha juu. 😊I believe
MUNGU amenipendelea kanipa uhai,nimejenga nilipang miaka miwili.kweli Mungu amenipendelea.
Joining college after so many years of completing high school something that I never expected will ever happen but I kept holding on to the hope that one day I will and God just made it happen.nani kama mungu.UMENIPENDELEA
VYOTE NILIVYO NAVYO, ULIVYONIPEA, NEEMA, UMENIPENDELEA BABA, SIJIVUNI KWA CHOCHOTE NILICHOKIFANYA 🙏!!
GOD am grateful to GOD…This be my prayer with my family @thesirors GOD do something new in our lives….