48 COMMENTS

  1. Mungu naomba roho ya maombi bwana,mm ni mwenye dhambi nimekuja kwako nikinyenyekea naomba baraka kutoka kwako,nifungulie njia bwana ,nifungulie nipate pesa bwana mm ni mtoto wko nanyenyekea kwako bwana

  2. Operation tukiza, talaka, ndoto za banana bibi zakikimapenzi out leave us, uzinzi, kuchumbwa na kuwachwa kuwoleja nakuwachwa magonjwa zote ndani ya mwili yetu out from me my children Nd family, kifochamapema, na magonjwa, kukata. Kununuwa do go kujenga out from us, kuwoleja na kuwachwa out from us

  3. Mungu Asante kwa kuniunganisha na madhabau hii iliohai ya new life Mungu Naomba roho ya ufanisi kibiashara roho ya kumiliki fedha nyingi mpaka kimataifa roho ya kumiliki wateja wengi kwenye biashara yangu mpaka kimataifa napokea roho ya utajiri roho ya utajiri kupitia madhabau hii iliohai ya new life Asante kwa kuniunganisha na madhabau hii iliohai ya new life

  4. Come again to me ,my children, grand children and family Amen πŸ™ πŸ™Œ to us,nd remove talaka, kuwoleka na kuwachwa, kuza kwa operation, kuchumbwa na kuwachwa, magonjwa,mauti,kusimameshwa kazi kigafula,kukata kusoma,na kukosa kazi

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here